語彙詳細
sikio
変化形:masikio
(1) [n] [5/6] 耳
<例文>
Sikio la kufa halisikii dawa.
死んでる耳には薬は利かぬ。(俚諺:馬鹿につける薬はない)
Sikio linamwuma, amekwenda kupiga bomba.
耳が痛むので彼は瀉血に行きました。
Anachokoa sikio kwa kijiti.
彼は小楊子で耳をほじっています。
Nadhani masikio yake ni mazito kidogo.
彼は少し耳が遠いように思います。
Katogwa masikio.
彼は耳に穴が開けてあります。
Ana masikio makali.
彼は耳がいい。
Anajidai kujitia vitunga vya macho ili asione, na vidole vya masikio ili asisikie.
彼はわざと見えないように自分で目隠しをしそして聞えなくするために耳に指を当てています。
Masikio yangu yalizibwa kwa mshindo wa risasi.
弾丸の炸裂音で私の耳は聞えなくなりました。
Nilitega sikio kusikiliza mazungumzo yao.
私は彼らの話を聞き取ろうとして耳をそば立てました。
Kuziba masikio kwa mikono.
手で耳を塞ぐ。
Ukae ukijua kwamba Mungu kakupa masikio mawili kusudi upate kusikiliza zaidi, na ulimi mmoja tu kusudi usipate kusema sana!
神はお前に「人の話は、二倍の注意を払って聴く様に」との慮り(オモンバカリ)から二つの耳とそして「独りで余り喋り過ぎる事のない様に」とのお諭(サト)しから、舌はその半分の一枚だけしかくださらなかった事をしかと心に銘記して置くが良い。
Kuwa na masikio si kusikia.Haya haya si masikio.Haya ni majani tu. Masikio ni moyo. Na moyo ukifumba. Basi mtu hasikii tena.
単に耳が有ると云う事だけでは、聞えると云う事にはならない。ここに有るこれは耳ではなくて、単なる葉っぱに過ぎない。耳とは心の事。而して心が閉じて居れば、最早や人は、音を聴く事を得ぬ。
Sikio la kufa halisikii dawa.
「死人に口無し」