語彙詳細
sigareti
変化形:sigareti
(1) [n] [9/10] タバコ(紙巻)
<例文>
Alinyamaza kimya, akatoa sigareti yake akaiwasha akavuta.
彼は黙ったままたばこを取り出し火をつけて吸った。
Aikuwa na tabia ya kuvuta sigareti yake mpaka kipande kiwe hakishikiki.
彼はたばこが短かくなって手に持っておれなくなるまで吸う癖があった。
Alikuwa kainamia meza anakitazama kile kipande cha sigareti.
彼はテーブルの上に屈みこむようにしてその吸殻を眺めていた。
Alikwasha sigareti yake chapa ya ‘Cent’ akaa kuvuta.
彼は愛用のセントに火をつけて吸うだけだった。
Kutwa shilingi kumi zinatosha sigareti zako na mengineyo.
一日十シリングあればお前のたばこ銭くらいにはなるだろう。