語彙詳細
sigara
変化形:sigara
(1) [n] [9/10] タバコ(紙巻)
<例文>
Sigireti zangu zoto zimeroa kwa jasho.
たばこが全部汗で濡れてしまった。
Sigara hizi hazinitoi hamu.
このたばこはどうも吸う気になれない。
Inakubaliwa kwamba kuvuta sigara kunaharibu siha.
喫煙が健康を害うと云うことは一般に認められている。
Samahani kwa hisani yako, kaninunulie paketi moja ya sigara.
済まないけどたばこ一箱買って来てくれないか。
Siku hizi kaacha kuvuta sigara.
彼はこの頃たばこを止めた。
Moshi wa sigara ulitanda mwote mle.
たばこの煙がその中一面に拡がった。
Chumba chake kizima kimejaa tele moshi wa sigara.
彼の部屋はたばこの煙で一杯だ。
Sigara kali (baridi).
強い(軽い)たばこ