語彙詳細
chakula
変化形:vyakula
(1) [n] [7/8] 食物,食事,料理
<例文>
Chakula kwa wandamu ni kama mbolea kwa mimea.
食物が人間に対するのは肥料が植物に対するのと同じだ。
Baba mtoto na mama mtoto, chakula hakiwapiti kwa huzuni ya mtoto wao. Mke naye hali kadhalika.
父親も母親も息子への痛わしさから食べ物が喉を通らず,またその妻も同じ有様である。
Chakula kikuu chawatu hawa ni tende, zeituni na mkate wa mtama uliokandiwa maziwa na kuchomwa ndani ya kitanuri.
この人達の主食はデイツの実やオリーブそれに牛乳で捏ねて釜で焼いたきびのパンである。
Chakula kimeongoka(=junebiga).
ごはんがよく出来た。
Basi, chakula kikiisha, mtume mtoto aje niite.
よし,ごはんが出来たら子供を呼びに寄こしてくれ。
Chakula hiki kimenivimbisha tumbo.
この食べ物でお腹が張って仕方がない。
Chakula hiki kimeungua, hakiliki.
このごはんは焦げてしまって食べられない。
Chakula kimeshapoa.
ごはんが冷めてしまったよ。
Kumbe, vyakula vile vilikuwa vimetiwa sume kweli.
ところが,その食べ物には本当に毒が入れてありました。
Kwa ajili ya njaa kala chakula kilichochacha.
空腹の余り彼はそのいたんだ食事を食べた。
Chakula hichi ukila, kitakutia nguvu.
この食べ物を食べると力がつきますよ。
Walikuwa hawana chakula kukila wala maskani ya kukaa.
彼らは食べる物もなく住む所もなかった。
Alikionja chakula kama kimekolea chumvi au sivyo.
彼女は料理が塩からくなり過ぎてはいないかどうか味見をした。
Ulikanyaga chakula makusudi, utasibika na maradhi ya matende.
食べ物をわざと踏みつけると象皮病になる。(俗信)
Tangu nifika hapa, sijapata hata kuonja chakula cha kwetu.
ここに着いてから私は未だ内地食を食べていません。
Kadhurika kwa ajili ya kula vyakula vitamu vitupu.
甘い物ばかり食べていたので彼は体を壊わした。
Kula chakula kimoja kila siku kunanichosha.
毎日同じ物ばかり食べているのでいやになります。
Kutupa chakula ni kufuru ya mwisho.
食べ物を捨てるのは背教行為の最たるものだ。
Kifo chake kimetokana na chakula chenye sumu.
彼の死は毒のはいった食べ物が原因だ。
Siku hizi mbona sifahamu chakula sikionei raha.
近頃何だか食べ物、美味しくないのよ。何故か知ら。
Chakula kitamu ni ugonjwa wangu.
私、甘い物には目がないんです。
Siku hizi mimi chakula sikionei raha.
近頃私食事余んまり美味しいとは思わないの。
chakula chakula
軽食